Mdada wa stationery

Mdada wa stationery

ngulangwa

Member
Joined
Sep 18, 2012
Posts
18
Reaction score
1
Mdada wa stationery anahitajika haraka mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 3/6/2015

Sifa za mwombaji:
Umri miaka 18-25
Awe anaweza kuongea kiingereza
Anayejituma sio mzembe
Stationery iko Sinza, wa Sinza atapewa kipaumbele
Muda kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 1 usiku hadi Jumamosi

Mshahara maelewano
Anayependa kazi hizi bila anakaribishwa
Tuma maombi pamoja na passport size picha kwenda polytechstationery@yahoo.com
 
mimi nimekupm simu haiwezi kutuma email unaweza nchek huko
 
Dada wa stationery ndio dada wa namna gani kiongozi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom