Mdada wa stationery anahitajika

Mdada wa stationery anahitajika

ngulangwa

Member
Joined
Sep 18, 2012
Posts
18
Reaction score
1
Msichana wa kazi ya stationery anahitajika Dar Kinondoni awe na sifa zifuatazo;

1. Elimu ya kidato cha nne na kuendelea
2. Kuongea na kuandika Kiswahili na kiingereza kwa ufasaha
3. Ujuzi wa computer;Adobe photoshop, Microsoft word, excel, publisher na powerpoint
4. Ajue kutumia photocopy, scanner, printer, lamination, binding machines, kupiga picha za passport size, kuburn CD na DVD, n.k
5. Awe anaishi maeneo ya sinza au maeneo ya jirani
6. Awe tayari kufanya Kazi kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa moja usiku
7. Umri kati ya miaka 17 mpaka 25
8. Awe mwaminifu, tabia nzuri na kauli nzuri kwa wateja.


Biashara ipo maeneo ya sinza awe mvumilivu na tufanye kazi kwa uaminifu bila kufatiliana na mshahara ni maelewano na ndio maana katika vigezo ni kuwa awe anaishi maeneo ya sinza au karibu ili kuepusha gharama za usafiri na muda.
Mwenye kumjua anaetafuta au anaetaka kazi anipm namba zake au atume kwenda sinzastationery@yahoo.com
Shukrani.
 
mkuu, kwa kazi zote hizo, na mshahara wa 100,000/- unaotaka kulipa watu hutowapata.. hata kama ni form four leavers,.
Jivute kidogo.
 
mkuu, kwa kazi zote hizo, na mshahara wa 100,000/- unaotaka kulipa watu hutowapata.. hata kama ni form four leavers,.
Jivute kidogo.

hehehehee.... huu sasa ni unyonyaji.
Watanzania tuweni na huruma,..loh.
 
mkuu, kwa kazi zote hizo, na mshahara wa 100,000/- unaotaka kulipa watu hutowapata.. hata kama ni form four leavers,.
Jivute kidogo.

hehehehee.... huu sasa ni unyonyaji.
Watanzania tuweni na huruma,..loh.

Nikiwapa biashara kama hii (ukizingatia haujajua wateja wangu na chumba nalipa kiasi gani) mnaweza mkanipa pesa kiasi gani kila mwezi na wafanyakazi utawalipa kiasi gani ?

Machine ni zile tu mtakazozikuta mwanzo na kila tear and wear mtalipa nyie...
 
hiyo bei umeitoa wap?

Boss, kwani hujapokea maombi tangu week iliopita? Maana umerudia tangazo.. Kama watu wametuma maombi, definately uliwaambia utawalipa kiasi gani.. Kwahiyo usishangae...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom