Natafuta mdada mwenye utaalam na masuala ya saluni, kuanzia kusuka, kuweka dawa na michano mbalimbali, kushonea weaving, kupamba maharusi nk. Awe mkazi was mbezi au kimara
Natafuta mdada mwenye utaalam na masuala ya saluni, kuanzia kusuka, kuweka dawa na michano mbalimbali, kushonea weaving, kupamba maharusi nk. Awe mkazi was mbezi au kimara
Ninahitaji wa kupanda gari moja, IPO mbezi kwa msuguri ukiwa kwa msuguri unachukua kibajaji nauli 500, so ndio maana nahitaji was maeneo ya kimara au mbezi. Ambaye yuko tayari tuwasiliane 0755 076393
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.