Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,261
- 13,552
Habari zenu wakuu?
Nimeombwa niwafikishie ombi hili.
Mdada wa kitanzania miaka 30,elimu ya kidato cha nne,anatafuta kazi yeyote halali iwe kuuza duka,kupika kwenye migahawa,kazi za usafi nk
Anapendelea kufanya kazi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwake,maana ana familia yake.
Anapatika Arusha mjini.
Mawasiliano ni PM, nikupe namba zake
Asanteni wote.
Nimeombwa niwafikishie ombi hili.
Mdada wa kitanzania miaka 30,elimu ya kidato cha nne,anatafuta kazi yeyote halali iwe kuuza duka,kupika kwenye migahawa,kazi za usafi nk
Anapendelea kufanya kazi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwake,maana ana familia yake.
Anapatika Arusha mjini.
Mawasiliano ni PM, nikupe namba zake
Asanteni wote.