johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Mchungaji amesema binadamu anapaswa Kutubu na kusamehe " Utusamehe Dhambi zetu kama sisi tunavyowasamehe wanaotukosea"
Waziri mstaafu Ngeleja alipokea Fedha na ilipoibuliwa bungeni na Mzalendo David Kafulila Kuwa Fedha zile ni Rushwa mh Ngeleja alizisalimisha Serikalini na kunawa Mikono yake
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Waziri mstaafu Ngeleja alipokea Fedha na ilipoibuliwa bungeni na Mzalendo David Kafulila Kuwa Fedha zile ni Rushwa mh Ngeleja alizisalimisha Serikalini na kunawa Mikono yake
Nawatakia Dominica yenye baraka!