Katika watu wanaoongoza kuchukiwa sasa hivi Tanzania ni pamoja na huyu jamaa Mwigulu Nchemba, kalewa sifa vibaya mno anaona kununua madawati na kupeleka kwenye mashule kwa fedha zisizo ndiyo kumsaidia mwananchi, ifike mahali hii tabia ya wabunge kugawa fedha au kusema natoa fedha kutoka mfukoni kusaidia wananchi kwa shughuli za maendeleo ikome, siyo jukumu la mbunge kutoa fedha za maendeleo! something must be done with this crazy ideas. Kasoma lakini hajaelimika, bahati mbaya zaidi CCM wakampa cheo cha uweka hazina kwa hiyo anajiona yeye ndiye mwenye chama, ni zaidi ya Nape sasa hivi, hata katibu mkuu hamfikii achilia mbali kutudharau watanzania. "Mwigulu, you must control your thoughts for the sake of your leadership".