DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mchungaji mstaafu wa kanisa la kiinjili la kilutheri( KKKT) nchini Mchungaji Richard Hananja amechukizwa na kauli ya Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe ya kumwita Mbunge huyo wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro" akiwa madhabahuni kuwa ni matumizi ya madhabahu kama sehemu ya kufanya siasa.
Askofu Gwajima alimjibu Mbunge Tarimba baada ya mkutano wa habari na waandishi wa habari alipotoa orodha ya watu waliotekwa nchini na kumtolea mfano mtoto wa rais,kauli ambayo mbunge wa kinondoni amezitolea ufafauzi kuwa ni laana Kwa mchungaji huyo.
Siku za hivi karibuni viongozi wa dini wameonekana kutokukubaliana na mwenendo wa Hali ya kisiasa nchini na kukemea utekaji unaoendelea huku wengine wakiitaka serikali kukukaa chini na kuvisikiliza vyama vya upinzani nchini.
Source: Habari mpya
Askofu Gwajima alimjibu Mbunge Tarimba baada ya mkutano wa habari na waandishi wa habari alipotoa orodha ya watu waliotekwa nchini na kumtolea mfano mtoto wa rais,kauli ambayo mbunge wa kinondoni amezitolea ufafauzi kuwa ni laana Kwa mchungaji huyo.
Siku za hivi karibuni viongozi wa dini wameonekana kutokukubaliana na mwenendo wa Hali ya kisiasa nchini na kukemea utekaji unaoendelea huku wengine wakiitaka serikali kukukaa chini na kuvisikiliza vyama vya upinzani nchini.