mchumba

Dogo hiyo tunaita diplomatic kibuti. Hapo hupendwi mtu wangu sepa fasta ukatafute mwingine.
 

umri wa mwanaume si mbaya sana kama atamuoa lakini naamini kwa binti utayari ni bado ki umri hata kimawzo pia nadhani ameshamweka katika wakati mgumu kwa kumpa taarifa za ndoa na naamini huyu binti atakuwa anawaza ndoa kuliko utayari wa ndoa
 
Kwa sisi wanafunzi,tunakiita hcho kibuti kama technical supplementary...we tafuta mmanzi mwingne 2 chalii yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…