Mchumba wangu amekuwa akinipa vitisho......

Mchumba wangu amekuwa akinipa vitisho......

man hb

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
11
Reaction score
0
Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.
 
Usitishwe na maneno, we achana nae kama ni kweli umedhamiria nafsini mwako kufanya ivyo na hawezi kujiua kweli!
 
We sema sababu ya kutaka kumwacha, hivi akikuzoea si ndio vizuri? Hee! Utakuwa mume gani usiyetaka mazoea na mkeo?
 
Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.

We sema “SABABU”za kutaka kumuacha na hii kauli ya“amenizoea sana na kuniona wa kawaida”FUTA.eleza sababu zenye kuleta maana halisi ili tukusaidie na ukumbuke kuwa mapenzi yana milima na mabonde!sawaa
 
Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.

Huna lolote haiingii akilini mtu akuletee mauzauza arafu hayupo tayari wewe kumuacha hadi anatangaza kujiua itakuwa we umemchoka na umemtafutia kisa ili umuache.Usifikili sisi watoto tumeshakuelewa kamchezo kako.
 
Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.

Unataka kumuacha kwa kuwa amekuzoea sana! ulitakaje? kila siku akuone mgeni kwake??? asipokuzoea wewe amzowee nani? jirani? Sema ukweli kwamba umeshamtumia na umemchoka sasa unataka kitu kipya! Ole wake atajuta kwa kukupa vyoteeeeeee kabla ya ndoa!
 
Kama kakuzoea sana mwambie "Hutaki mazoea yake" ulete report amesemaje..
 
Ulitaka asikuzoee wakati mnavuana vyupi?? Unachekesha-sosi FF
 
kesha pata jamaa anaemfikisha, wewe unagusagusa tu....komaa piga kama umiona leo...
 
Yeye kakuzowea lakini wewe hujamzoweaa? Mwambie asikuzowee Kama Chupi ....akuzowee Kama malaria.
 
Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.

Sasa ulitaka asikuzoee wakati wewe ni BF wake? Asipokuzoea wewe atamzoea nani? Mbona sababu haitoshi kumpiga chini? Au unamaana gani kusema amekuzoea sana na kukuona wa kawaida???
 
Back
Top Bottom