Jeremiah255
Member
- Jan 31, 2021
- 8
- 8
Natafuta mchumba ambaye baadae atakuwa mke wang mtarajiwa miaka 28-32 na awe anaish Dar au pwan(kibaha) kwa aliye seriously ani pm
Mzee mtie moyo kijana.Unapoishi hawapo au ndo udomo zege??.
Apambane na hali yake,atakapokutwa ametafutwa na Wanawake ambao Umri wao ni sawa na mama zake asishangae.Mzee mtie moyo kijana.
Hizo dharau sasa mchumba anapatikana popote haijarish umri,umri ni namba tuApambane na hali yake,atakapokutwa ametafutwa na Wanawake ambao Umri wao ni sawa na mama zake asishangae.