khalisai Joseph
Member
- May 12, 2017
- 38
- 14
Habari zenu,wakuu.
Naimani wote mpo salama kabisa. Mimi ni kijana wakiafrika, shughuri zangu ni upambaji na kutoa huduma za vyakula (decoration and catering services), katika shughuri mbalimbali za harusi,send off,kitchen party, mikutano, vipaimara, komunio, misiba n. k.
Napenda kutoa fursa,kwa jamii inayonizunguka."Mtu yoyote yule, atakayeweza kunipatia au kuniunganisha na shughuri hizo zilizotajwa hapo juu,atakuwa amefanikiwa,kupata zawadi ya fedha taslim, yenye kiwango cha asilimia 10% ya malipo ya shughuri husika".
Kwa mawasiliano zaidi,piga simu namba:0762962872 au 0718385831.
WOTE MNAKARIBISHWA
ASANTE
Sent from my A8 using JamiiForums mobile app
Naimani wote mpo salama kabisa. Mimi ni kijana wakiafrika, shughuri zangu ni upambaji na kutoa huduma za vyakula (decoration and catering services), katika shughuri mbalimbali za harusi,send off,kitchen party, mikutano, vipaimara, komunio, misiba n. k.
Napenda kutoa fursa,kwa jamii inayonizunguka."Mtu yoyote yule, atakayeweza kunipatia au kuniunganisha na shughuri hizo zilizotajwa hapo juu,atakuwa amefanikiwa,kupata zawadi ya fedha taslim, yenye kiwango cha asilimia 10% ya malipo ya shughuri husika".
Kwa mawasiliano zaidi,piga simu namba:0762962872 au 0718385831.
WOTE MNAKARIBISHWA
ASANTE
Sent from my A8 using JamiiForums mobile app