Access Denied JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 655 Reaction score 211 Sep 29, 2012 #1 Kama madereva wa boda boda watawajali abiria wao kwa kiasi hiki nitarudisha imani yangu kwao na kuanza kutumia tena usafiri wao. Attachments IMAGE010.JPG 41.4 KB · Views: 255
Kama madereva wa boda boda watawajali abiria wao kwa kiasi hiki nitarudisha imani yangu kwao na kuanza kutumia tena usafiri wao.
tatanyengo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2011 Posts 1,133 Reaction score 282 Sep 29, 2012 #2 Ukifanya hivyo utakuwa na ubinafsi. Yaani unataka dereva afe ili wewe ubaki.Jambo la msingi hapa in dereva na abiria kuvaa kofia ngumu.
Ukifanya hivyo utakuwa na ubinafsi. Yaani unataka dereva afe ili wewe ubaki.Jambo la msingi hapa in dereva na abiria kuvaa kofia ngumu.
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Joined Jul 12, 2012 Posts 2,042 Reaction score 603 Sep 29, 2012 #3 sio ubinafsi ni yeye dereva wa kuhakikisha ubora na uwepo wa vifaa vyote kazini pake.
W wampinda Member Joined Sep 4, 2012 Posts 11 Reaction score 4 Sep 30, 2012 #4 Sijaelewa vizuri,mbona kuna kofia ngumu hapo mbele haipendi ama?