Mchina vs Mtz

Access Denied

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
655
Reaction score
211
Kama madereva wa boda boda watawajali abiria wao kwa kiasi hiki nitarudisha imani yangu kwao na kuanza kutumia tena usafiri wao.
 

Attachments

  • IMAGE010.JPG
    41.4 KB · Views: 255
Ukifanya hivyo utakuwa na ubinafsi. Yaani unataka dereva afe ili wewe ubaki.Jambo la msingi hapa in dereva na abiria kuvaa kofia ngumu.
 
sio ubinafsi ni yeye dereva wa kuhakikisha ubora na uwepo wa vifaa vyote kazini pake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…