Mchina amenakili Range Rover Evoque na kuiita yake Land Wind

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
67,008
173,659
Habari wadau,
Katika pita pita zangu mtandaoni nikakutana na hili nkaona sio mbaya kuja kushare nanyi. Kwa hakika mchina sio mtu mzuri, sikujua kama angeweza kufanya kitendo hiki cha kuiabisha kampuni kubwa yenye heshima duniani ya Jaguar Land Rover kwa kufanya copycat ya ile Range Rover Evoque na kuiita yake Land Wind. Hebu tizameni muone utundu huu mi nilijua kaishia kwenye simu tu na tv, kumbe daahh......

Mwisho kabisa tutoe credits yupi katisha kati yao wawili JLR- Evoque au Mchina Land Wind?

landwind-evoque-11.JPG



landwind-evoque-13.JPG

landwind-evoque-12.JPG


maxresdefault.jpg

Versus Land wind,

landwind-evoque-3.JPG



landwind-evoque-4.JPG


landwind-evoque-6.JPG
 
Lazima tuheshimiane tu mjini hapa na hii hali ya kufunga mkanda chini ya JPM.Waache wachina wafanye yao wote tuendeshe magari mazuri,alianza na Pikipiki wakati mjapani anauza bei kubwa Honda na Yamaha yeye akapindua sasa kaja na Luxury Cars.Kwenye Mabasi ndiyo usiseme Scania wanaisoma namba sasahivi.Shikamoo Mhe.Xi Jinping
 
Back
Top Bottom