Mchicha (Swiss Chard) Na Bamia

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,069
Reaction score
34,839
Mchicha (Swiss Chard) Na Bamia



Vipimo


Majani ya Mchicha (Swiss Chard) 4 - 5

Bamia 150 - 250g

Chumvi 1 kijiko cha chai

Mafuta ya zaituni ½ kikombe

Maji 1 gilasi

Kitunguu maji kilokatwakatwa 1


Namna Ya Kutayraisha Na Kupika



  1. Katakata sehemu ya juu ya majani ubakishe majani pekee.



  1. Osha majani kisha katakata kama mchicha wa kawaida .



  1. Tia mboga katika sufuria, maji na chumvi chemsha kwa dakika 25 hivi.



  1. Osha bamia uweke tayari ukiwa umezikata vikonyo vyake.



  1. Mboga ikishachemka kurudia chini mimina bamia, kitunguu, mafuta . Acha ichemke mpaka bamia ziwive ikiwa tayari.


Kidokezo:

Mboga hii ni aina ya mchicha ila hatujui inaitwaje kiswahili, ila tunajua inatiwa Swiss Chard.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…