NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,359
- 12,890
Mashabiki oya oya acheni umbumbumbu, Kama unamtupia mawe Max Nzengeli anza kumrushia mawe kwanza mfungaji wenu (Jean Baleke) maana nae anagoli sawa na Max Nzengeli.
Eti "kashuka kiwango" Eti anapotea taratibu Kama miksoni"
Acheni ushabiki maandazi na upumbavu wa kijinga nyie ndiyo huwa mnasababisha mpira wetu usikue.
Eti "kashuka kiwango" Eti anapotea taratibu Kama miksoni"
Acheni ushabiki maandazi na upumbavu wa kijinga nyie ndiyo huwa mnasababisha mpira wetu usikue.