Salaam Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na
pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye
busara,,....!! Kwa kiufupi tu, tumeuza nyumba ya marehem mama yetu iliopo kariakoo aliekua akimiliki na ndungu zake wawili ambao pia wamefariki kwa kiasi cha tsh750 million hivi karibuni na kuigawanya kwa mafungu matatu yaani kila mtoto anarithi tumbo la mzazi wake kwahyo mimi na mdogo wangu tukapata 250 ya mama yetu na wengine wakapata share ya wazazi wao.. Sasa naomba mnishauri biashara gani ambayo itamudu kiasi cha hiyo pesa na kutuingizia faida mimi na mdogo wangu? Sina uzoefu sana wa biashara...
Salaam Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na
pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye
busara,,....!! Kwa kiufupi tu, tumeuza nyumba ya marehem mama yetu iliopo kariakoo aliekua akimiliki na ndungu zake wawili ambao pia wamefariki kwa kiasi cha tsh750 million hivi karibuni na kuigawanya kwa mafungu matatu yaani kila mtoto anarithi tumbo la mzazi wake kwahyo mimi na mdogo wangu tukapata 250 ya mama yetu na wengine wakapata share ya wazazi wao.. Sasa naomba mnishauri biashara gani ambayo itamudu kiasi cha hiyo pesa na kutuingizia faida mimi na mdogo wangu? Sina uzoefu sana wa biashara...
Nina miaka 27 na bado sijafanikiwa kupata kazi ya kudumu, ila mdogo wangu ana miaka 24 na anafanya kazi kwenye kampuni ya ki-swedish inaitwa oriflame iko potsa, she's a receptionist..
I'm an a- level graduate na mdogo wangu kamaliza form 4