mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
baadhi ya wananchi katika maeneo mbalimbali ya mji wa zanzibar wameulalamikia mchakato wa kuwapata wajumbe watatu watakaoingia katika mkutano wa kujadili katiba mpya ngazi ya shehia. baadhi ya malalamiko ni baadhi ya viongozi wa shehia kudaiwa kuingilia kati na kukiuika sheria za tume