mchakato wa kuwachagua wajumbe wa katiba waingia dosari

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Nov 27, 2011
1,132
185
baadhi ya wananchi katika maeneo mbalimbali ya mji wa zanzibar wameulalamikia mchakato wa kuwapata wajumbe watatu watakaoingia katika mkutano wa kujadili katiba mpya ngazi ya shehia. baadhi ya malalamiko ni baadhi ya viongozi wa shehia kudaiwa kuingilia kati na kukiuika sheria za tume
 
Back
Top Bottom