Mch Temba Alphonce nabii wa uongo Zambia

Kama huna la kuandika ni bora ufanye review kwenye post za wenzako
 

Watasema Bwana Bwana,hatukuponya wagonjwa na kutoa pepo kwa jina lako?Ndipo nitakapo waambia,siwajui ninyi,ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu.
 
Kwa mtazamo wa haraka sana,una hasira na Temba (inawezekanammehitilafiana pahala). Hebu jipange uandike kitu cha kueleweka. Contents zako ziendane na heading na kisha uwe specific ktk madai yako.
Ulivyoandika ni kama vile unasikia watu wanaongea nyumba ya jirani na kisha wewe unaandika. Hii siyo style ya JF.
Halafu just a point of caution,kabla hujasema watu wa Mungu,jihoji kwanza na uhoji facts zako. Ni ushauri tu ndugu............
 
jamaa ni mhanga wa deci
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…