Mch. Peter Msigwa akiwa kijana

Huyu jamaa kelele zake zoote hajawahi kumtukana Mh. Rais kama mataila mengine ya upinzani, nilikuja kugundua sababu ya adabu hii ni kuwa hawa jamaa ni ndugu hahahaaaa wazazi wazae watoto watuunganishe hakuna adui kwenye undugu.
 
Kumbe wakongwe wengi washavaa model,,hiyo jins chafu model mikato ya vijana wa kileo.
 
mwaka 87 kulikuwa hakuna picha coloured picha za rangi zimeanza mwaka 90
 
Huyu jamaa kelele zake zoote hajawahi kumtukana Mh. Rais kama mataila mengine ya upinzani, nilikuja kugundua sababu ya adabu hii ni kuwa hawa jamaa ni ndugu hahahaaaa wazazi wazae watoto watuunganishe hakuna adui kwenye undugu.
Hakuna hata mtu mmoja ameshawahi kumtukana Mh. Rais.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…