Mbweni ijayo

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
2,055
Reaction score
3,436
Wakuu nafanya speculation.. Je ni sehem gan bagamoyo ina opportunity ya kua kama mbweni ijayo.. Kama unajua tafadhali shusha comment hata kama sio b/moyo
 
Wakuu nafanya speculation.. Je ni sehem gan bagamoyo ina opportunity ya kua kama mbweni ijayo.. Kama unajua tafadhali shusha comment hata kama sio b/moyo
Mbweni kunajegwa bilq ya eneo zima kufanyiwa unyoofu...watu wanajenga kwenye mabonde na milima na juu ya vichuguu
 
Wilaya ya Bagamoyo imekosa watu smart.


Zinga na. Mapinga ilikua iwe Half Masaki wangeipima na kuweka Utaratibu mzuri wa miundombuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…