Mbwa wanauzwa Kigamboni (20,000 TZS)

Mbwa wanauzwa Kigamboni (20,000 TZS)

Mkuu mbona bei ghali hivy

Ujue kuna malisho baadae ungefanya hata 2500 each
 
Ha ha ha ha acha nipite

Nilivyokurupuka kufungua nikajua ni rottie au shepherd.

Hongera lakini kwa kuku za.
 
Ha ha ha ha acha nipite

Nilivyokurupuka kufungua nikajua ni rottie au shepherd.

Hongera lakini kwa kuku za.
Dog+Panone+20180312_163254%7E2.jpeg
Dog+Panone2+20180312_163310%7E2.jpeg
 
Mbwa anauzwa bei rahisi kuliko Jogooo!

Labda kuna ruzuku ya Serikali kwenye Malezi ya Mbwa hao mpaka kufika hapo
 
Hao mbwa ni wakubwa au bado watoto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom