"Mbuzi wa Vingunguti" Bungeni...

Mbowe leo amedhihirisha kwa mara nyingine kuwa wabunge wa Chadema ni kama mbuzi wa Vingunguti...
 
Yaani bora wewe umewaita mbuzi wa vingunguti,maana jina ambalo ningewaita mimi we acha tu.Ashakum si matusi,hawa wapumbavu ndani ya siku mbili tena zisizokamilika vizuri wametoka nje mara mbili.Mpaka sasa bado najiuliza kwa nini wanatabia za kuzira zira?Maana tabia hizi ni za jinsia ya KE na wala sio Me?Je hawa CDM wanazira ili wabembelezwe au watongozwe?Kura za huruma zitabaki Arusha tu,nyambaf!
 
Kuwa na watu wenye mtazama kama mleta mada ni janga kwa taifa.Hii inaonyesha jinsi mtu anaweza kutumika bila yeye kujiuliza.Haki haiombwi,inadaiwa kwa nguvu zote.Usipotenda haki basi ujue iko siku wataidai.Tumefika hapa kutokana na kuwa na viongozi wasiokuwa na dira na wanaojali maslahi ya wananchi.Haki ni tunda la amani.Pia maandiko matakatifu yanasema,haki huinua taifa.
 

Pumba = Pointless
 
Hili TUTUSA limetoka wapi jamani? mie silielewi kabisa! TASA wa akili kweli wewe.
 
Kwa fujo zimetokea? Nani ailikuwa sahihi?kipi kilikuwa kinalindwa?
 
Mkuu, uko sahihi kabisa, alichokifanya Mbowe ni pumba kuu kuliko zote duniani...

Pumba ni hizi unazozileta hapa Jukwaani.
Jukwaa pekee ambalo hua unalitendeaga haki ni Jukwaa la Biashara hasa kwenye sekta ya Ujenzi wa Ghorofa tu.
 
Pumba ni hizi unazozileta hapa Jukwaani.
Jukwaa pekee ambalo hua unalitendeaga haki ni Jukwaa la Biashara hasa kwenye sekta ya Ujenzi wa Ghorofa tu.

Sugu alikuwa anataka kumlipizia teke askari! alivyoona imeshindikana kaamua avunje microphone ya Bunge!!!

Je nani atalipia microphone.
 
Sugu alikuwa anataka kumlipizia teke askari! alivyoona imeshindikana kaamua avunje microphone ya Bunge!!!

Je nani atalipia microphone.

Kaka,

Unajua exactly what happened. Hivi nikuulize, Mtolewa nje alikua nani pale? Sugu? Kosa la Sugu la kufanya mpaka askari wote wamshambulie yeye ni nini??

Picha zinaonyesha kua Sugu alijishika kwenye Microphone ili asivutwe asiondolewe pale na askari, bali atoke mwenyewe kistaarabu. But ni wazi tu kua angeweza kutembea mwenyewe akatoka bila bughudha.
 
Kaka, ni wazi tu kua angeweza kutembea mwenyewe akatoka bila bughudha.

Ni kweli kabisa Sugu angeweza kutoka kistaarabu ila ameamua kwa makusudi kuvunja microphone ya Bunge. Ndio maana wadau wanapendekeza Sugu akatwe mshahara wake ili kufidia hasara aliyosababisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…