Mbunge wangu uliza upewe maelezo ya kutosha kuhusu hili

Sungurampole

JF-Expert Member
Nov 17, 2007
984
205
Leo Mh Waziri Mkuu ananguruama naomba uulize Swali jepesi tu- “pesa nyingi (kwa bilioni) zilizokuwa ziende katika halmshauri, taasisi na wizara hazikuenda kufuatana na bajeti ya mwaka jana”.

Majibu yanatolewa mengi ila hayana mshiko kwani tukiyakubali hayo maelezo ni lazima pia tukubali kuwa basi Bunge la bajeti ni ‘annual ritual’ na hatumaanishi

Bajeti tunajua ni tafsiri ya mipango yetu kimahesabu. Malezo ya fedha yanakwenda na tarakimu-Kama kweli hayo maelezo yana mshiko
Tunaomba tupewe reconciliation-tumekusanya hiki, zilizokuwa zipelekwe tupeleke huku tumepeleka hapa na heasbu zibalance ni hio tu.
 
Leo Mh Waziri Mkuu ananguruama naomba uulize Swali jepesi tu- "pesa nyingi (kwa bilioni) zilizokuwa ziende katika halmshauri, taasisi na wizara hazikuenda kufuatana na bajeti ya mwaka jana".

Majibu yanatolewa mengi ila hayana mshiko kwani tukiyakubali hayo maelezo ni lazima pia tukubali kuwa basi Bunge la bajeti ni ‘annual ritual' na hatumaanishi

Bajeti tunajua ni tafsiri ya mipango yetu kimahesabu. Malezo ya fedha yanakwenda na tarakimu-Kama kweli hayo maelezo yana mshiko
Tunaomba tupewe reconciliation-tumekusanya hiki, zilizokuwa zipelekwe tupeleke huku tumepeleka hapa na heasbu zibalance ni hio tu.

hahaha, kweli kabisa - zilienda wapi? kwa maana tulizisubiri hatukuziona? its just a T-account na balance sheet tunazohitaji, ila nina wasiwasi na Mbuge wako anaweza ogopa kusutwa
 
hahaha, kweli kabisa - zilienda wapi? kwa maana tulizisubiri hatukuziona? its just a T-account na balance sheet tunazohitaji, ila nina wasiwasi na Mbuge wako anaweza ogopa kusutwa

ukitilia maanani kuwa bunge la sasa ni la vijembe na kusutana. Ila reconciliation ni muhimu wadai -wasiruhumu kupewa shule za kina Mwigulu bila figures
 
Back
Top Bottom