Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Leo Mh Waziri Mkuu ananguruama naomba uulize Swali jepesi tu- pesa nyingi (kwa bilioni) zilizokuwa ziende katika halmshauri, taasisi na wizara hazikuenda kufuatana na bajeti ya mwaka jana.
Majibu yanatolewa mengi ila hayana mshiko kwani tukiyakubali hayo maelezo ni lazima pia tukubali kuwa basi Bunge la bajeti ni annual ritual na hatumaanishi
Bajeti tunajua ni tafsiri ya mipango yetu kimahesabu. Malezo ya fedha yanakwenda na tarakimu-Kama kweli hayo maelezo yana mshiko
Tunaomba tupewe reconciliation-tumekusanya hiki, zilizokuwa zipelekwe tupeleke huku tumepeleka hapa na heasbu zibalance ni hio tu.
Majibu yanatolewa mengi ila hayana mshiko kwani tukiyakubali hayo maelezo ni lazima pia tukubali kuwa basi Bunge la bajeti ni annual ritual na hatumaanishi
Bajeti tunajua ni tafsiri ya mipango yetu kimahesabu. Malezo ya fedha yanakwenda na tarakimu-Kama kweli hayo maelezo yana mshiko
Tunaomba tupewe reconciliation-tumekusanya hiki, zilizokuwa zipelekwe tupeleke huku tumepeleka hapa na heasbu zibalance ni hio tu.