Mbunge wa Uingereza ahoji alipo Netanyahu

Inasikitisha sana jinsi watu wanavyopenda na kuziamini fake news hasa zile zenye hisia au tetesi wanazotamani ziwe za kweli
Wakati wa vita moja ya silaha muhimu sana ni Propaganda,
Israel
wanakila sababu ya kuprove wrong hizo rumors unless iwe na wao wanafaidika kutokana na hiyo taarifa.
πŸ™
 
Nimecheka sana

Ety
Breaking news: Benjamin Netanyahu live from hell πŸ˜‚
 
For the first time in the history of the Israeli regime, Netanyahu is not present at the military meeting...

The Israeli government has convened an emergency meeting of senior officials.

[emoji837]Absent from the meeting are:

[emoji838]Benjamin Netanyahu.

[emoji838]Air Force Commander Tomer Bar.

[emoji838]Mossad Chief David Barnea.

[emoji838]Minister of National Security Ben Gvir.

[emoji838]Iddo Netanyahu.

[emoji837]Iddo Netanyahu is the brother of Prime Minister Netanyahu. Ben Gvir is the main spokesperson of Israel, effectively the voice of the government.

Note: The mentioned individuals have not appeared publicly for a long time, so there is speculation about murder... Scott Ritter claimed that Ben Gvir was seriously wounded, and Iddo killed. In recent days, speeches created with the help of artificial intelligence have been released instead of Netanyahu's.
 
Hata USA waliomhusisha Trump na epstein files wametumbuliwa. Same to waliomkoso Charlie kirk wamefukuzwa kazi zaidi ya watumishi 2000.
Israel ndio kabisa uki ripoti habari za vita unachukuliwa hatua.

Freedom of speech ni tatizo dunia nzima contrary na unachoandika hapa yaani perception selectivity
 
Wakati wa vita moja ya silaha muhimu sana ni Propaganda,
Israel
wanakila sababu ya kuprove wrong hizo rumors unless iwe na wao wanafaidika kutokana na hiyo taarifa.
πŸ™
Propaganda za vita ni kitu kinachoeleweka, na propaganda hufanywa na vitengo maalum vya serikali au jeshi. Lakini tunachoshudia hapa ni uongo unaozushwa au kutengenezwa na washabiki.

Picha za AI zikitengenezwa na vitengo maalum, si rahisi ugundue kuwa ni za uongo. Hizi zinazoletwa hapa, unazigundua hata ukiwa umekunywa konyagi.
 
Hatuko naye tayali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…