JF- KYOMA
Member
- Jan 14, 2014
- 79
- 42
Mbunge wa jimbo la ngara mh. Ntukamazina ameaibika katika uwanja wa posta ya zamani baada ya kuwahutubia watu wasiozidi 20 tena makao makuu ya wilaya na jimbo la Ngara.
Hii ni aibu kubwa kwani walioko ni mabalozi hata madiwani hawapo na viongozi wa ccm wilaya wamemtelekeza na picha ni hizo hapo chini mbunge akihutubia tena kwa cone spika.
Hii ni aibu kubwa kwani walioko ni mabalozi hata madiwani hawapo na viongozi wa ccm wilaya wamemtelekeza na picha ni hizo hapo chini mbunge akihutubia tena kwa cone spika.