Huyo hana jipya zaidi ya kuwa chamatusi,sidhani kama wapiga kura wake wanahitaji tambo zaidi kutatua kero zao hasa maji,zahanati na huduma zingine muhimu vijijini ukizingatia Dodoma umasikini unazidi kukandamiza wana nchi na wapiga kura wake,yeye anakomaa na mitusi!!!sio zama hizi!wananchi wameshaamka sasa!!kama hana sera na mifano hai kwa miaka 5 hii amekwisha!!!!!!!!