Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mbunge wa Jimbo la Geita mjini anayemaliza muda wake Costantine Kanyasu leo Jumatatu Juni 30, 2025 amejitokeza katika ofisi za CCM wilaya ya Geita na kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Geita mjini.
Kanyasu amehudumu katika Jimbo la Geita kwa muda wa miaka 10 kuanzia mwaka 2015 ambapo hii ni awamu ya tatu kujitokeza.
Miongoni mwa wanachama waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo la Geita mjini ni pamoja na mwenyekiti wa UVCCM mkoa Manjale Magambo, aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Geita Mhandisi Gabriel Luhumbi, MNEC Chacha Wambura, Elia John, Abdullah Barre, nk
Kanyasu amehudumu katika Jimbo la Geita kwa muda wa miaka 10 kuanzia mwaka 2015 ambapo hii ni awamu ya tatu kujitokeza.
Miongoni mwa wanachama waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo la Geita mjini ni pamoja na mwenyekiti wa UVCCM mkoa Manjale Magambo, aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Geita Mhandisi Gabriel Luhumbi, MNEC Chacha Wambura, Elia John, Abdullah Barre, nk