Kama Chadema wasingekuwa wanatumia maandamano idadi uliyoiona ndo mahudhurio wangekuwa wanayapata hasa kwa kiongozi mkuu wa Chama (Mwenyekiti). Hapo alikuwa anapima upepo kama anaweza kukubalika bila maandamano, kakuta yupo mdogo wake, mjomba, rafiki wa kaka yake na majirani watatu. Jumla ya mahudhurio watu 10, kikao au kijiwe? bora mtoa maada angesema Mbowe akuta vijana kijiweni na kuwaunga mkono baada ya kukuta wanaongelea maswala ya maendeleo akaamua kuwaunga mkono. Kiongozi uwe unataarifu, ona sasa ulivyo kishusha Chama chetu, kwa idadi hiyo hata angetembelea yule diwani wetu aliyeungana na ccm si angepata wengi! sijui kama ameweka sera hadhalani kwa idadi hiyo na chama chetu tulivyo na dharau. mh......................................