Mbunge wa CCM azomewa Igunga

Duh hii kali naona wananchi wakireact watawala husingizia cdm. Nadhani hawataamini macho yao pale watakapo fanya kweli. Naomba MUNGU niwepo siku hiyo.
 
Atakuwa na wakati mgumu sana wa kuwatumikia wananchi wake kama hakubaliki namshauri afanyie kazi PR yake, kwa kuanzia nakushari uhamishie maisha yako igunga, kumbuka 2015 mwigulu mchemba hatakuwepo utakufa peke yako. KAZI KWAKO
 
Anapata mshahara wa wizi.
Kama ni hasira za kushindwa basi asubiri aitakapowaishia.
Sijui ni lini.
 
kuzomewa kwa wana wa magamba ni jambo la kawaida.Wakati wananchi wa Shinyanga walipofanya maandamano ya kupinga ongezeko la mfumuko wa bei wanamagamba walikuwa na kikao kwenye ukumbi maarufu mkoani humo hujulikanao kama NSSF,wajumbe wa mkutano huo walificha magwanda yao ya kijani kwa aibu na kwenda kuyavalia ukumbini.Si hapo tu hata wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa kata ya Masekelo mama Kilango Marecela naye aliingia aibu ya mwaka kwa kukimbiwa kwenye mkutano na kundi kubwa la wakazi wa kata hiyo na kulazimika mkutano wake kufungwa muda wa saa kumi na moja.Hali hiyo ilipelekea mh.Ole Sendeka naye kuvunja ratiba ya kuja kukisaidia chama chake kwa kusoma alama za nyakati na kuacha kuja kama ratiba ilivyokwisha kutajwa hapo awali,Shame on them scars
 

Mwanjerwa kazowewa cdm kafumu nk cdm. Kesho watasema cdm imewatuma mafisadi wa lichimondi,epa,kagoda,kiwila nk kuiba ccm wakifanya kosa watasema cdm wamesababisha tufanye makosa hayo yote yanaonye uchovu wa ccm
 
si kuna sheria inakataza kujadili katiba nje ya tume ya katibai?
je rais ameshateua tume ya katiba?
je ni wangapi wameshatiwa hatiani na hiyo sheria?
au haijaanza kutumika?


Ccm haijui ifanye nini iache nini, watakoma kuringa!
Labda Sheria hiyo haiwahusu wao, na pengine inawalenga watu fulani kama vile jukwaa la katiba, au Wazee wa magwanda ambao watakapo jaribu tu
kuhamasisha wananchi utaona ile sheria inavyotumika.
Mi sijasikia kama rais ameshatangaza tume ya kukusanya maoni juu ya katiba mpya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…