Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Naona sasa wako na wewe tena kwa habari nyiingi za kukusifu lakini ngoja nikwambie ukweli ambao labda haufahamu kwa sababu ulikuwa Jela. Ni kwamba walikuongelea mara mbili tu, siku ulipohukumiwa kwenda Jela na siku moja kabla haujatoka Gerezani, na hapo katikati wakati ulipokuwa Jela ilikuwa ni kimyaa na hakuna hata aliyeulizia unatoka lini au kuongelea kukukatia rufaa au hata kukujadili na kuiongelea Familia yako ambayo naamini ilikuwa inapitia kipindi kigumu sana.
Wanasheria ambao hushinda hapa JF hawakusema chochote kuhusu kifungo chako hata TLS na Bisimba Kijo hawakusema chochote kile juu ya kifungo chako.
Hata huyu Mwandosya uliyepiga naye selfie baada ya kutoka Jela hakusema chochote wakati uko Jela na wala hatukumsikia akikupigania wewe au familia yako.
Hivyo elewa kwamba mapambio yote wanayokuimbia leo hii likikufika la kukufika upo peke yako labda na Familia yako.
Kila La Heri man katika safari yako ngumu na ndefu ya kujitambua, ...
Wanasheria ambao hushinda hapa JF hawakusema chochote kuhusu kifungo chako hata TLS na Bisimba Kijo hawakusema chochote kile juu ya kifungo chako.
Hata huyu Mwandosya uliyepiga naye selfie baada ya kutoka Jela hakusema chochote wakati uko Jela na wala hatukumsikia akikupigania wewe au familia yako.
Hivyo elewa kwamba mapambio yote wanayokuimbia leo hii likikufika la kukufika upo peke yako labda na Familia yako.
Kila La Heri man katika safari yako ngumu na ndefu ya kujitambua, ...