von Meshak
Member
- Aug 20, 2014
- 12
- 3
"Viongozi Ukawa Wanakabiliwa & Ombwe La Mtindio Wa Elimu Uraia &Ukosefu Wa Uzalendo.Wanataka Matone Ya Damu Kama Kafara Kuingia Ikulu.Ni Vema Wajue,Gunia Tupu Halisimami Wima.Naasa Chadema Wawe Sikio Lenye Kupenda Kusikia Wasicho Penda Kusikia.Nimeamua Kujiondoa Mwenyewe,Naomba Waandae Wagombea Ubunge Mashariki& Magaribi,Ili 2015 Tukutane Nao Uwanjani,Kwani Maswa Ina Wenyewe& Biashara ----- Lala Ilikwisha Zamani.Ningeunga Mkono Maandamano Yenye Kudai Elimu Bora Nchini,Stahiki Za Afya,Ardhi Tengefu Ya Malisho,Uvuvi &Kilimo.Bei Thaminifu Ya Pamba& Mishahara Linganifu Ya wafanyakazi"