lemikaoforo
Member
- Jan 29, 2012
- 70
- 5
Binadamu mtu wa ajabu sana,akifanya mazabe jamii ikiyafahamu anakuwa mbogo c mwingine Daktari wa makanisa Lwakatare kisa kaanikwa anakwenda kulalamika bungeni akisaidiwa na cjui ni swahiba Mh Ngo(ye)e,
Kaanikwa kidunchu c yaanikwe yote,
Haipendezi mbunge unaacha kuuliza hoja za msingi kama kutunga sheria ya madini yanayotoroshwa kila uchao tuwabane wawekezaji pasu kwa pasu hawataki walale mbele hayataoza kwa kutokuchimbwa
Huyu mama lakwatare akaendelee kuwadanganya waumini wake c vinginevyo
Kaanikwa kidunchu c yaanikwe yote,
Haipendezi mbunge unaacha kuuliza hoja za msingi kama kutunga sheria ya madini yanayotoroshwa kila uchao tuwabane wawekezaji pasu kwa pasu hawataki walale mbele hayataoza kwa kutokuchimbwa
Huyu mama lakwatare akaendelee kuwadanganya waumini wake c vinginevyo