MBULU: Mtoto achomwa moto na Muhindi kisa alichelewa kupika maharagwe

kinsakina

JF-Expert Member
Jun 17, 2016
1,076
1,058
Ni habari za kusikitisha sana,

Leo asubuhi radio free Africa wametangaza kuna mtoto wa miaka kumi na sita alichelewa kupika maharagwe akamwagiwa petroli na kuchomwa moto na Muhindi anayeitwa John anayemiliki kambi ya kitalii maeneo ya Mbulu, cha kusikitisha Mhindi kaachiwa kwa dhamana wakati dogo yuko hospitali na hali yake ni mbaya.

Alichofanya huyu Muhindi na mjomba wa mtoto hakijulikani kwani mtoto alitolewa hospitali na mjomba akapelekwa kwa bibi kijijini akiwa hajapona bibi anasema hali yake ni mbaya anahitaji msaada apelekwe India ili hali yake itengemae.

My take: Hivi polisi wetu wana utu, siwanalipwa mishahara minono kwa kodi za wananchi, wameona hela za Muhindi ni tamu kuliko kodi za wananchi, toka lini mtuhumiwa akaachiwa wakati aliyemjeruhi yuko hospitali, hivi lini tutaacha kutanguliza hela mbele na kumjali mtoto huyu thamani ya maisha yake yamelinganshwa na maharagwe au Muhindi!
 
Rekebisha Title ni Mtoto na si Motto

Hawa wahindi sio watu wa kubembelezwa tena hapa nchini. Wana madharau na roho mbaya sana kwa watanzania weusi.

Na huyo hatachukuliwa hatua yoyote asilani...kwani atahonga tu mapolisi kadha pesa kisha ataachiwa.

Tena kama huyo mtoto kwao maisha ni magumu ndio kabisaa

Hii nchi ya kingumbaru inawaona hawa wageni kama miungu watu kisha watanzania wanaonekana hawana maana.

Ungejua maisha ya Fazzal mwenye Leopard tours wa Arusha ndio ungejua jinsi gani wahindi wanaogopwa na wabongo wananyanyaswa.

Polisi woote ni misukule ya wahindi...halafu eti tunasema hii serikali ipo kwaajili ya kuwatetea Wanyonge.

Thubutuuu...!
 
issue kama iyo sidhan kama ni polisi ndo wametoa dhamana itakuwa ni nahakaman jaribu kufuatilia
Kwani kesi ilikuwa ishafika mahakamani? AU mahakama wana uwezo wa kumuachia mtuhumiwa kabla kesi haijafikishwa huko?
 
Ni habari za kusikitisha sana, Leo asubuhi radio free Africa wametangaza kuna mtoto wa miaka kumi na sita alichelewa kupika maharagwe akamwagiwa petroli na kuchomwa moto na Mhindi anaeitwa John anayemiliki kambi ya kitalii maeneo ya Mbulu, cha kusikitisha Mhindi kaachiwa kwa dhamana wakati dogo yuko hospitali na hali yake ni mbaya, alichofanya huyu Mhindi na mjomba wa mtoto hakijulikani kwani mtoto alitolewa hospitali na mjomba akapelekwa kwa bibi kijijini akiwa hajapona bibi anasema hali yake ni mbaya anahitaji msaada apelekwe India ili hali yake itengemae.

My take: Hivi polisi wetu wana utu, siwanalipwa mishahara minono kwa kodi za wananchi, wameona hela za Mhindi ni tamu kuliko kodi za wananchi, toka lini mtuhumiwa akaachiwa wakati aliyemjeruhi yuko hospitali, hivi lini tutaacha kutanguliza hela mbele na kumjali mtoto huyu samani ya maisha take yamelinganshwa na maharagwe na Mhindi.

Rekebisha kidogo basi,huyo anaitwa MUHiNDI,kwani MHINDI ni chakula. Mjomba kaisha shikishwa pesa za kununua sukari kilo mbili
 
Hueleweki mara mtoto yupo kijijini kwa Bibi yake mara bado yupo hospital, kipi ni kipi?
 
UMEFIKA WAKATI WAHINDI WAFUKUZWE NCHI HII, hii nchi sio jalala la mabaki ya wahindi na wachina waliokataliwa makwao
sitaki kusikia kitu kinachoitwa WATANZANIA WENYE ASILI YA ASIA ni upumbavu mtupu, nawachukia wahindi kutoka chini ya moyo wangu na ijulikane mimi ni M'BAGUZI HASA wa race za watu weupe NAWACHUKIA SIWAPENDI
 
Police si watumishi wa umma... Ndio maana hata vyeti vyao havijahakikiwa... So unapoongea kumbuka police sekta binafsi wanajilipa wenyewe.......!!!
Ofcourse, mfano ni traffic wanavyojilipa wenyewe barabarani
 
Acheni zenu serikali mpo wapi!? Nchi sio ya wahindi hii... Kwann utu wa mtanzania hauna thamani tena nyumbani kwake mwenyewe!?

Inasikitisha
 
Katika vitu ambavyo vinanifanya nimuone Idi Amin kama shujaa ni pamoja na kudeal na jamii hii ambayo leo ni zaidi ya miaka 100 toka wawepo Tanganyika lakini sehemu wanayoshirikiana na sisi ni siasa tu lakini jeshini hatuwaoni Police hatuwaoni mitaani kwetu hatuwaoni wamegoma kuchanganya damu na sisi kifupi wametengeneza kisiwa Chao ndani ya Tanganyika
 
Katika vitu ambavyo vinanifanya nimuone Idi Amin kama shujaa ni pamoja na kudeal na jamii hii ambayo leo ni zaidi ya miaka 100 toka wawepo Tanganyika lakini sehemu wanayoshirikiana na sisi ni siasa tu lakini jeshini hatuwaoni Police hatuwaoni mitaani kwetu hatuwaoni wamegoma kuchanganya damu na sisi kifupi wametengeneza kisiwa Chao ndani ya Tanganyika
Unajua hawa wahindi ambao wanakuja hapa nchini...wanaishi kama wafalme, wanawekeza wawezavyo halafu wanawalipa watanzania hela ndogo mno kuliko jamii nyingine yoyote duniani.

Huyu Fazzal mwaka 2015 wakati wa kukaguliwa alishawahi kutamka kuwa

"Hawezi kuongozwa na Manyani"

Mbaya zaidi pesa za wahindi wanadeposit katika benki zao tu kama Bank of Baroda au wanapeleka India.

Benson wa Arusha na akina Fazzal wanadeposit pesa zao uingereza na wana ushirika na benki za uingereza tu.

hivyo hela zao haziingii katika mzunguko hapa nchini kwa manufaa ya watanzania.

SASA WANA FAIDA GANI NCHINI?
UMEFIKA WAKATI WAHINDI WAFUKUZWE NCHI HII, hii nchi sio jalala la mabaki ya wahindi na wachina waliokataliwa makwao
sitaki kusikia kitu kinachoitwa WATANZANIA WENYE ASILI YA ASIA ni upumbavu mtupu, nawachukia wahindi kutoka chini ya moyo wangu na ijulikane mimi ni M'BAGUZI HASA wa race za watu weupe NAWACHUKIA SIWAPENDI

Nashauri huyu mhindi amwagiwe petroli na kuchomwa moto then atueleze ni utamu au uchungu
 
Back
Top Bottom