Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,889
- 8,486
Ila tulilalamika sana kwamba inakuwaje Rais hasafiri, mawaziri hawasafiri....?Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe wakati akiwasilisha ujumbe wa maandamano ameonya kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia imekuwa ya anasa kupitiliza kwa maafisa wake kulipana posho nono na safari zisizoisha.
Mbowe amesema serikali hii imewasahau wananchi wake kwani vitu vinapanda bei kupitiliza kila siku na kuyafanya maisha kuwa magumu sana.
View: https://youtu.be/t4wRMiyEMUc?si=GhdkzwkPIUkp5JAw
Kila kitu ni kea kiasi. Chochote ukifanya kwa kupitiliza ni hasara.Ila tulilalamika sana kwamba inakuwaje Rais hasafiri, mawaziri hawasafiri....?
ukilaza ni kipajiMimi siwaelewi wapinzani wanataka nini, hivi vyote JPM hakufanya ila walimuona mshamba na hawakuisha kumzodoa leo hii wanashindwa tu kusema JPM alikuwa mfano wa kuigwa.
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa posho serikalini na ugumu wa maisha ISIPOKUWA posho serikalini zinaweza kuleta nafuu ya ugumu wa maishaMwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe wakati akiwasilisha ujumbe wa maandamano ameonya kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia imekuwa ya anasa kupitiliza kwa maafisa wake kulipana posho nono na safari zisizoisha.
Mbowe amesema serikali hii imewasahau wananchi wake kwani vitu vinapanda bei kupitiliza kila siku na kuyafanya maisha kuwa magumu sana.
View: https://youtu.be/t4wRMiyEMUc?si=GhdkzwkPIUkp5JAw