Mbowe mkabidhi Lowassa chama

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
16,003
Salaam,

Nimeona ni vema leo nimshauri ndugu Mbowe akabidhi chama haraka kwa Ndg.Lowassa (uenyekiti) mapema kwasababu zifuatazo;

1.Ni msomi,shahada ya kwanza sanaa za maigizo (UDSM) na shahada ya 2, maendeleo (Bath,Uk).

2.Ana uzoefu mkubwa wa uongozi,aliwahi kuwa waziri mkuu wa JMT.

3.Ana ushawishi mkubwa sana,kwakweli ameshawishi wanachama wengi wa CHADEMA kumsafisha na kumuondolea hatia ya ufisadi waliomuimba na hata kuumba mashairi ya kumtakasa kwa mitandaoni hongera ziende kwa Yeriko,Ben,Malisa,Mtatiro,Molemo,Makene,Mmawia nk kwa kweli mlitubu dhambi zenu barabara na mkatumika.

3.Kwa sasa ameweza kubadili ajenda na wote kama chama ajenda ya Lowassa imekubalika.

4.Ana ofisi nzuri pale Mikocheni ambapo kwa sasa maamuzi mazito yanafanyika na ndipo jina la katibu mkuu Mashinji lilipoidhinishwa kabla ya kupigiwa kura ya wazi Mwanza.

5.Amekufundisha kutoa matamko kanisani, kumbuka ulivyolalamikia utumbuaji Moshi,KKKT.

7.Ni mshindi wa tunzo ya "amani",alitunukiwa na "wachungaji na manabii" zaidi ya 200" waliokutanika Kongo.

8.Ameleta aina mpya ya siasa CHADEMA ya unabii unabii,ramli ramli,uchawi uchawi hii aliikopa kwa "Mshenga" kwa sasa vijana wanaitumia kama namna ya kupunguza uchungu.

9.Wewe umeungana na sera za Magufuli,pale uliponukuliwa ukisema "Magufuli ni mwenzetu"angali Lowassa amepinga yote kwake ni bora kuvaa fulana,pilau na maadhimisho kuliko barabara na madawati kwani anasema "Magufuli anahamisha fedha bila ruhusa" na kwa hili bavicha wamemuunga mkono EL wakisema huo ni udikteta,hivyo ni ishara vijana hawakutaki.

10.Amekuja na watu mamilioni hili hata wewe ulikiri siku una mpokea,mwachie uenyekiti ili aunde safu yake kama alivyoanza na Katibu mkuu.

Karibuni kwa hoja na sio viroja.
 
Utumwa wa fikra ni zaidi ya gereza,unalazimika kufikiri na kuwaza kwa kinyume(kuandika usichokiamini) ili tu mkono uende kinywani.
Jifunze kukabiliana na fikra mbadala bila hasira,ni haki yake kuwa mwenyekiti.
 
Salaam,

Nimeona ni vema leo nimshauri Ndugu Mbowe akabidhi chama haraka kwa Ndg.Lowassa (uenyekiti) mapema kwa sababu zifuatazo;

1.Ni msomi,shahada ya kwanza sanaaza maigizo (udsm) na shahada ya 2,maendeleo (Bath,Uk).

2.Ana uzoefu mkubwa wa uongozi,aliwahi kuwa waziri mkuu wa JMT.

3.Ana ushawishi mkubwa sana,kwak weli ameshawishi wanachama wengi wa chadema kumsafisha na kumuondolea hatia ya ufisadi waliomuimba na hata kuumba mashairi ya kumtakasa kwa mitandaoni hongera ziende kwa Yeriko,Ben,Malisa,Mtatiro,Molemo,Makene,Mmawia nk....kwa kweli mlitubu dhambi zenu barabara na mkatumika.

3.Kwa sasa ameweza kubadili ajenda na wote kama chama ajenda ya Lowassa imekubalika.

4.Ana ofisi nzuri pale mikocheni ambapo kwa sasa maamuzi mazito yanafanyika na ndipo jina la katibu mkuu Mashinji lilipoidhinishwa kabla ya kupigiwa kura ya wazi mwanza.

5.Amekufundisha kutoa matamko kanisani,kumbuka ulivyolalamikia utumbuaji moshi,KKKT.

7.Ni mshindi wa tunzo ya "amani",alitunukiwa na "wachungaji na manabii" zaidi ya 200" waliokutanika
kongo.

8.Ameleta aina mpya ya siasa chadema ya unabii unabii,ramli ramli,uchawi uchawi...hii aliikopa kwa "Mshenga"...kwa sasa vijana wanaitumia kama namna ya kupunguza uchungu.

9.Wewe umeungana na sera za Magufuli,pale uliponukuliwa ukisema "Magufuli ni mwenzetu"...angali Lowassa amepinga yote kwake ni bora kuvaa fulana,pilau na maadhimisho kuliko barabara na madawati..kwani anasema "Magufuli anahamisha fedha bila ruhusa"...na kwa hili bavicha wamemuunga mkono EL wakisema huo ni udikteta,hivyo ni ishara vijana hawakutaki.

10.Amekuja na watu mamilioni hili hata wewe ulikiri siku una mpokea,mwachie uenyekiti ili aunde safu yake kama alivyoanza na Katibu mkuu.

Karibuni kwa hoja na sio viroja.
BILA KUSAHAU ANA MTONYO NA ANAZUNGUKWA NA KUNDI LA WATU WENYE MITONYO.
 
Salaam,

Nimeona ni vema leo nimshauri Ndugu Mbowe akabidhi chama haraka kwa Ndg.Lowassa (uenyekiti) mapema kwa sababu zifuatazo;

1.Ni msomi,shahada ya kwanza sanaaza maigizo (udsm) na shahada ya 2,maendeleo (Bath,Uk).

2.Ana uzoefu mkubwa wa uongozi,aliwahi kuwa waziri mkuu wa JMT.

3.Ana ushawishi mkubwa sana,kwak weli ameshawishi wanachama wengi wa chadema kumsafisha na kumuondolea hatia ya ufisadi waliomuimba na hata kuumba mashairi ya kumtakasa kwa mitandaoni hongera ziende kwa Yeriko,Ben,Malisa,Mtatiro,Molemo,Makene,Mmawia nk....kwa kweli mlitubu dhambi zenu barabara na mkatumika.

3.Kwa sasa ameweza kubadili ajenda na wote kama chama ajenda ya Lowassa imekubalika.

4.Ana ofisi nzuri pale mikocheni ambapo kwa sasa maamuzi mazito yanafanyika na ndipo jina la katibu mkuu Mashinji lilipoidhinishwa kabla ya kupigiwa kura ya wazi mwanza.

5.Amekufundisha kutoa matamko kanisani,kumbuka ulivyolalamikia utumbuaji moshi,KKKT.

7.Ni mshindi wa tunzo ya "amani",alitunukiwa na "wachungaji na manabii" zaidi ya 200" waliokutanika
kongo.

8.Ameleta aina mpya ya siasa chadema ya unabii unabii,ramli ramli,uchawi uchawi...hii aliikopa kwa "Mshenga"...kwa sasa vijana wanaitumia kama namna ya kupunguza uchungu.

9.Wewe umeungana na sera za Magufuli,pale uliponukuliwa ukisema "Magufuli ni mwenzetu"...angali Lowassa amepinga yote kwake ni bora kuvaa fulana,pilau na maadhimisho kuliko barabara na madawati..kwani anasema "Magufuli anahamisha fedha bila ruhusa"...na kwa hili bavicha wamemuunga mkono EL wakisema huo ni udikteta,hivyo ni ishara vijana hawakutaki.

10.Amekuja na watu mamilioni hili hata wewe ulikiri siku una mpokea,mwachie uenyekiti ili aunde safu yake kama alivyoanza na Katibu mkuu.

Karibuni kwa hoja na sio viroja.
Ameongeza na idadi ya wabunge wa CHADEMA pia halmashauri kadhaa amezipa utawala na jiji la Dar mikononi mwake hiyo nafasi ya uwenyekiti kweli wangempa tu
 
Jifunze kukabiliana na fikra mbadala bila hasira,ni haki yake kuwa mwenyekiti.
Ungetaka kuleta mjadala watu wajadili msingi wa hoja usingeandika mipasho,mambo hayo peleka facebook,huwezi ona mtu hapa akajibu kwa mantiki zaidi ya kukujibu kipuuzi kama ulivyoandika.Ndio maana watu zaidi ya 80 wamefungua post yako lakini tuliojisumbua kukujibu mpaka sasa ni wawili tena umejibiwa kwa kupuuzwa.shame
 
Ungetaka kuleta mjadala watu wajadili msingi wa hoja usingeandika mipasho,mambo hayo peleka facebook,huwezi ona mtu hapa akajibu kwa mantiki zaidi ya kukujibu kipuuzi kama ulivyoandika.Ndio maana watu zaidi ya 80 wamefungua post yako lakini tuliojisumbua kukujibu mpaka sasa ni wawili tena umejibiwa kwa kupuuzwa.shame
Ukiacha siasa utagundua umuhimu wa EL ndani ya chama.Ili chama kisonge mbele lazima awe dereva,kuhusu watu kuchungulia na kutochangia ni sawa tu wengine wakisoma lazima wapate maumivu ya tumbo.
 
Ukiacha siasa utagundua umuhimu wa EL ndani ya chama.Ili chama kisonge mbele lazima awe dereva,kuhusu watu kuchungulia na kutochangia ni sawa tu wengine wakisoma lazima wapate maumivu ya tumbo.

Wakati mwingine unaweza ukawa unamlazimisha mbuzi kwa kumvuta wakati hataki,lakini unaweza ukakumbuka kuwa kuna njia rahisi,we mpe majani huku ukisogea.Basi ngoja nikupe majani:
"Haya lowassa apewe uenyekiti"
 
Wakati mwingine unaweza ukawa unamlazimisha mbuzi kwa kumvuta wakati hataki,lakini unaweza ukakumbuka kuwa kuna njia rahisi,we mpe majani huku ukisogea.Basi ngoja nikupe majani:
"Haya lowassa apewe uenyekiti"
Safi,ni wakati sasa wa yeye kushika usukani na sio kuwa abiria.
 
Tumbo hufanya binadamu kufanya the impossible,sasa huyu tumbo limemchagulia kujitoa ufahamu.Ile akili ndogo kutawala akili kubwa ndio hii
Unavyofikiri ni tofauti,ungejuwa kwa sasa kundi kubwa la wapiga kura mamilioni wanatamani apewe uenyekiti na kama ni uchaguzi ukiitishwa leo ndani ya chama hata Lissu atakuwa Team Lowasa.
 
Unavyofikiri ni tofauti,ungejuwa kwa sasa kundi kubwa la wapiga kura mamilioni wanatamani apewe uenyekiti na kama ni uchaguzi ukiitishwa leo ndani ya chama hata lissu atakuwa Teamlowasa.

mi nilishamalizana na wewe,au umegoma kula majani?
 
Lowasa anafaa sana kuwa Mkiti CHADEMA Atatufaa sana ni mwana mikakati mzuri

Mbowe muachie kiti Lowasa
 
Salaam,

Nimeona ni vema leo nimshauri ndugu Mbowe akabidhi chama haraka kwa Ndg.Lowassa (uenyekiti) mapema kwasababu zifuatazo;

1.Ni msomi,shahada ya kwanza sanaa za maigizo (UDSM) na shahada ya 2, maendeleo (Bath,Uk).

2.Ana uzoefu mkubwa wa uongozi,aliwahi kuwa waziri mkuu wa JMT.

3.Ana ushawishi mkubwa sana,kwakweli ameshawishi wanachama wengi wa CHADEMA kumsafisha na kumuondolea hatia ya ufisadi waliomuimba na hata kuumba mashairi ya kumtakasa kwa mitandaoni hongera ziende kwa Yeriko,Ben,Malisa,Mtatiro,Molemo,Makene,Mmawia nk kwa kweli mlitubu dhambi zenu barabara na mkatumika.

3.Kwa sasa ameweza kubadili ajenda na wote kama chama ajenda ya Lowassa imekubalika.

4.Ana ofisi nzuri pale Mikocheni ambapo kwa sasa maamuzi mazito yanafanyika na ndipo jina la katibu mkuu Mashinji lilipoidhinishwa kabla ya kupigiwa kura ya wazi Mwanza.

5.Amekufundisha kutoa matamko kanisani, kumbuka ulivyolalamikia utumbuaji Moshi,KKKT.

7.Ni mshindi wa tunzo ya "amani",alitunukiwa na "wachungaji na manabii" zaidi ya 200" waliokutanika Kongo.

8.Ameleta aina mpya ya siasa CHADEMA ya unabii unabii,ramli ramli,uchawi uchawi hii aliikopa kwa "Mshenga" kwa sasa vijana wanaitumia kama namna ya kupunguza uchungu.

9.Wewe umeungana na sera za Magufuli,pale uliponukuliwa ukisema "Magufuli ni mwenzetu"angali Lowassa amepinga yote kwake ni bora kuvaa fulana,pilau na maadhimisho kuliko barabara na madawati kwani anasema "Magufuli anahamisha fedha bila ruhusa" na kwa hili bavicha wamemuunga mkono EL wakisema huo ni udikteta,hivyo ni ishara vijana hawakutaki.

10.Amekuja na watu mamilioni hili hata wewe ulikiri siku una mpokea,mwachie uenyekiti ili aunde safu yake kama alivyoanza na Katibu mkuu.

Karibuni kwa hoja na sio viroja.
We huna hoja,maelezo yako yana sifa ya kuwa upuuzi wa kawaida.Kwa watu wenye weledi watafanya jambo la maana kukupuuza.Chama kina katiba na taratibu zake,sijui kama hata jambo dogo hilo hujui
 
We mhuni huna hoja,maelezo yako yana sifa ya kuwa upuuzi wa kawaida.Kwa watu wenye weledi watafanya jambo la maana kukupuuza.Chama kina katiba na taratibu zake,sijui kama hata jambo dogo hilo hujui
Ninachoshauri aitishe mkutano mkuu wa dharura amkabidhi,amepwaya.
 
Back
Top Bottom