Mbowe: Lowassa ataingia na mtaji wa wanachama.

Mbowe: Lowassa ataingia na mtaji wa wanachama.

CONSTRUCTIVE THOUGHT

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,158
Reaction score
417
Moja ya kauli aliyokuwa anaitoa Mbowe kuhusu ujio wa Lowassa ni kuwa Lowassa atakuja na wanachama CHADEMA. Kiukweli Mbowe hakujua vizuri kuwa kwa levo ya CHADEMA sasa kisiasa ni chama chenye mtaji tayari kinachotakiwa ni kudhibiti mtaji huo usishuke.

Ujio wa Lowassa umefungua mlango kwa Dk. Slaa kuondoka na mtaji na faida ya wanachama waliokua nao kwasababu Mbowe alipiga vibaya hesabu zake au aliangalia maslahi binafsi.
 
Dr. Slaa Kaenda wapi na Nani?, Lowassa Kaigia hadi sasa na Mawaziri Wawili..Mkongoro, Ole Medeye....Ndio Maana Kwa Team Makini Inamuuza Mchezaji aliyechuja na Kumnunua aliye kwenye Chati, the same applied to Politics.

Lowassa ni Messi Lione Mtambo wa Magori ya Mikono na Miguu Wakati Dr. Slaa ni Drogba wa Sasa akitumia Miguu tu bila Mikono wakati wa Kusaka Magori
 
Biashara imebuma kwa magambaz
 

Attachments

  • 1438538512472.jpg
    1438538512472.jpg
    10.9 KB · Views: 201
Dr. Slaa Kaenda wapi na Nani?, Lowassa Kaigia hadi sasa na Mawaziri Wawili..Mkongoro, Ole Medeye....Ndio Maana Kwa Team Makini Inamuuza Mchezaji aliyechuja na Kumnunua aliye kwenye Chati, the same applied to Politics.

Lowassa ni Messi Lione Mtambo wa Magori ya Mikono na Miguu Wakati Dr. Slaa ni Drogba wa Sasa akitumia Miguu tu bila Mikono wakati wa Kusaka Magori
Weunaokena ni Chesi
 
Back
Top Bottom