Mbowe awakumbusha viongozi waliovimbiwa madaraka nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa katiba.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
59,999
104,319
MBOWE AWATAKA WATAWALA KUHESHIMU MISINGI YA DEMOKRASIA
Akiandika katika ukurasa wake wa facebook, Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe amesema "walioko madarakani wanapaswa kutambua kuwa siasa haina msimu wala haianzi na kuishia wakati wa uchaguzi. Aidha, nawakumbusha kuheshimu misingi ya demokrasia ikiwemo, ushindani wa hoja, sera, mikakati na mipango na pia kutambua uwepo na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi si suala la utashi wa walioko madarakani bali ni haki ya msingi kikatiba na matakwa ya wananchi wanaotoa dhamana ya watu kukaa madarakani kuongoza kwa niaba ya wengine."
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria
Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria

kumbe anapiga biti ili ajisafishe kwa hizo 2 bilion! Bado zile 1.6 za escrow from mfadhili No.2 Rugemarila na yale mabilion toka kwa mfadhili No. 1 Edward Lowasa alizonunulia chama.
 
komment nzuri ila pia kama kiongozi wa chama naomba ajibu hoja ya kuhamisha billion 2 kutoka tanzania na kupeleka nje ya nchi.kukaa kimya kwake inaweza kukiumza chama chetu kwa hoja kuwa ni chama kinachoongozwa na wasafirishaji pesa kinyume cha sheria

vp kwan kuna mtu kaibiwa
 
Anamwambia nani? Na kwanini anamwambia?
Majaliwa ameshaanza kulewa madaraka ati wanasiasa wasifanye siasa waachwe wao kuendelea na maigizo yao ya kutawala vyombo vya habari huku hali inazidi kuwa ngumu huku kitaa, kuwafukuza watu kazi bila raia kuwa na maisha bora bado haitowasaidia Watanzania na watampiga chini Magufuri mwaka 2020.
 
Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.

nyumbu kama wewe hata upigwe nyundo kichwani huwezi kuzinduka wallah! Hizo fedha mbona hata yeye amehojiwa na hatua zinaendelea? Wewe ni nani kukanusha wakati mhusika mkuu hajakanusha?
 
kumbe anapiga biti ili ajisafishe kwa hizo 2 bilion! Bado zile 1.6 za escrow from mfadhili No.2 Rugemarila na yale mabilion toka kwa mfadhili No. 1 Edward Lowasa alizonunulia chama.
Kumbe Tanzania hatuna serikali? kwahiyo Magufuri anamuogopa huyu? anachaguwa majipu ya kukamuwa?
 
nyumbu kama wewe hata upigwe nyundo kichwani huwezi kuzinduka wallah! Hizo fedha mbona hata yeye amehojiwa na hatua zinaendelea? Wewe ni nani kukanusha wakati mhusika mkuu hajakanusha?
Nyumbu Mama'ko.
 
Majaliwa ameshaanza kulewa madaraka ati wanasiasa wasifanye siasa waachwe wao kuendelea na maigizo yao ya kutawala vyombo vya habari huku hali inazidi kuwa ngumu huku kitaa, kuwafukuza watu kazi bila raia kuwa na maisha bora bado haitowasaidia Watanzania na watampiga chini Magufuri mwaka 2020.

tangu lini mkaitakia tawala mema? Kwanza hoja yenu ilikuwa ufisadi, baada ya kupokea lifisadi papa hoja gani mtaiongelea tena? Halafu pia mkapata mfadhili mwingine wa escrow mliyesema nae ni fisadi, so CDM ni Chama cha uDini na Mafisadi.
 
Nchi haiongozwi kwa umbea wa mitaani, kama una ushahidi peleka polisi, nchi ina vyombo vyote kamili vya ulinzi na usalama na wanaotakatisha pesa wote wanatiwa nguvuni. nipe mawasiliano yako tumrepoti Mbowe kwenye vyombo husika ili Taifa likome kuishi kwa umbea.

Hata escrow tuliambiwa ni umbea wa mitaani.
 
MBOWE AWATAKA WATAWALA KUHESHIMU MISINGI YA DEMOKRASIA
Akiandika katika ukurasa wake wa facebook, Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe amesema "walioko madarakani wanapaswa kutambua kuwa siasa haina msimu wala haianzi na kuishia wakati wa uchaguzi. Aidha, nawakumbusha kuheshimu misingi ya demokrasia ikiwemo, ushindani wa hoja, sera, mikakati na mipango na pia kutambua uwepo na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi si suala la utashi wa walioko madarakani bali ni haki ya msingi kikatiba na matakwa ya wananchi wanaotoa dhamana ya watu kukaa madarakani kuongoza kwa niaba ya wengine."

Ana maneno matamu huyu jamaa kwa wanaomjua huwa wanampuuza
 
Teh Teh Mbowe kaone akimbilie facebook! Najua siku si nyingi atakana kuwa si yeye...
 
MBOWE AWATAKA WATAWALA KUHESHIMU MISINGI YA DEMOKRASIA
Akiandika katika ukurasa wake wa facebook, Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe amesema "walioko madarakani wanapaswa kutambua kuwa siasa haina msimu wala haianzi na kuishia wakati wa uchaguzi. Aidha, nawakumbusha kuheshimu misingi ya demokrasia ikiwemo, ushindani wa hoja, sera, mikakati na mipango na pia kutambua uwepo na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi si suala la utashi wa walioko madarakani bali ni haki ya msingi kikatiba na matakwa ya wananchi wanaotoa dhamana ya watu kukaa madarakani kuongoza kwa niaba ya wengine."

Ushauri wa Mbowe ni mwendawazimu pekee anayeweza kuukubali kwa sababu ukisema siasa haina msimu maana yake utakuwa ni mwendawazimu kwa sababu kila kitu kinapangwa kwa ratiba na muda wake sasa kama tunafanya mambo bila ratiba ni wazi tutakuwa wote vichaa na kwa mwenye akili timamu atagundua mbowe anawategea wajinga waache kufanya kazi zao yeye aendelee kuwadanganya wakati yeye ni bilionea hata asipofanya kazi siku zote alizobakiza duniani hawezi kuadhirika lakini walalahoi wenzangu wanashangilia na kuunga mkono upuuzi wa mbowe, hivi kama kweli lengo lake ni hilo angeitisha waandishi wa habari na tv zote kisha wakatoa shukrani kwa waliowapigia kura bado nini kingeharibika???? Hizo gharama za kuzunguka nchi nzima kama kweli wana mapenzi mema na watanzania hizo fedha ambazo wangezitumia wazipeleke kwa yatima wazee na wagonjwa hospitalini wanaokufa kwa kukosa huduma Mungu angewabariki sana kuliko huo ufahari wanaouonyesha wakati wenzao wanakufa na njaa na magonjwa. Hovyo sana Mbowe and company
 
Back
Top Bottom