Wajemeni mimi nataabishwa sana na hawa wabunge ccm wamekuwa niwakuilalamimkia tu serekali yao na wala hawapati majibu ya kimsingi kuhusu majibu yao!!, sawli langu mimi ni je, hizo kadi za magamba walikabithiwa na mungu na sasa hawamuoni ili kumrudishia!?, kama ni hivyo, hata mbowe atazipokea kwa niaba yake, comeon guys, acheni kupiga kelele, karibuni kambi ya upinzani tuongeze nguvu kama kweli mnapenzi na nchi hii.ty[/COLOR][/COLOR]