Mbowe aenda na jina la Msigwa mfukoni, Olle Sosopi atemwa

Mkuu wa nchi wetu alishindanishwa nani kule Dodoma?,pamoja na hayo Chadema wajifunze wacha watu washindanishwe wasiige upande ule mwingine ambao umetufikisha hapa tulip.
 
Eti kinajiita Chama cha Demokrasia, Demokrasia gani leo mtu anapita bila kupingwa?

Halafu unatoka hapo unawaambia watu eti nchi hii kuna udikteta, Je kuna Udikteta zaidi ya huu?
Mlishaanza kutumia mbinu,ya kuwa sosipita ni mtu wa kasikazini,kwa hiyo mmepigwa raundi ya kwanza bila kujianda
Mm kwa upande wangu msigwa,na sosipeter wote ni viongozi imara ndani ya chama,lkn kamati kuu imeangalia vitu vingi sana
Usijaribu kukejeri maumbile ya mtu waswahili husema hujafa hujaumbika unaweza siku moja ukatamani makengeza
 
Chadema wanampa majina yote JPM kuwa hapendi kukosolewa lakini ukitaka kukiona cha moto kosoa chadema! Imagine mtu kama Dr Slaa ilifikia mahala ikabidi kukimbia nchi ili kuwa salama. Kiukweli wengi itawachukua muda kujua siasa zetu zimejaa ulaghai ....bahati mbaya hata ukijua sasa HUWEZI kubadili chochote.
 
Ni vizuri kuonyesha kutokukunaliana na yaliyotokea lakini hakuna haja ya hasira zote hizo. Mapovu yanakutoka kama nini? kuwa mpole. Katika jumuiya yoyote kama chama cha siasa kuna mambo viongozi wanayafahamu kuliko wanachama wengine, kwa hiyo mambo mengine ni lazima yafanyike ambayo wanachama wa kawaida hawawezi kuelewa.

Na inaonyesha kuwa wewe ulikuwa upande gani. Kuwa mpole, tutafika tu, ukiona shida unahamia chama kingine.
 
Back
Top Bottom