mbona UDOM hawajan tumia join instruction mpaka sa hv

mbona UDOM hawajan tumia join instruction mpaka sa hv

Matyenu

Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
17
Reaction score
15
jaman m nashindwa kuelewa nilchaguliwa round ya kwanza dp ya pharmacy na baada ya kuchagiwa kulkua hakuna selection nyingne yan second wala third sasa nashangaa tulchaguliwa 123 naona yapo majna 50 yameandikwa verified na wenzangu wametapa join instruction m sijapata jaman msaada hapo inakuaje
 
jaman m nashindwa kuelewa nilchaguliwa round ya kwanza dp ya pharmacy na baada ya kuchagiwa kulkua hakuna selection nyingne yan second wala third sasa nashangaa tulchaguliwa 123 naona yapo majna 50 yameandikwa verified na wenzangu wametapa join instruction m sijapata jaman msaada hapo inakuaje
Ebu waulize wametumiwa wap? Ww hujui znatumwa kweny profile yako? Uliingia ukaikosa?
 
Ripoti chuoni mtakapofungua, mengine utayajua hukohuko
 
We makalio kweli sa ndo umeshindwa ku verify? Si uende kwenye account yako uone taratibu za kufata.

Na uchangamke ukichelewa tu utasoma mwakani.
 
Back
Top Bottom