Balozi seif ali idi ni kiongozi wa shughuli za baraza la wawakilishi znz.sasa ndani ya bunge la jamhuri anafanya nini?
Upo sawa lkn kushika nafasi zote hzo hakuna utendaji mzuri...makamu wa pili wa rais,mbunge wa jimbo znz,mbunge wa kuteuliwa,kiongozi wa shughuli za serikali ktk baraza la wawakilishi..yaani kamzidi hadi rais wa jamhuriKwa maelezo yako Mkuu, inaonyesha kama huishi TZ au si mfuatiliaji wa mambo yalivyo nchini mwetu. Kwa taarifa yako Balozi Iddi ni mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Kitope katika nchi ya ZNZ. Vile vile ni mwakilishi wa kuteuliwa na Rais wa ZNZ, kwa maana hiyo anaweza kuingia katika BLW na Bunge la Muungano at a same time. Upo hapo!!! Kapitoo?