Mbona kimya sana zanzibar kulikoni!!

Mbona kimya sana zanzibar kulikoni!!

kisiri mwihechi

Senior Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
135
Reaction score
24
Mh magufuli malizeni mgogoro wa zanzibar. Huu ubabe wa nini? Kulikua na haja gani kufanya uchaguzi kama matokeo hatuyataki?
Wafanyabiashara zanzibar wanashindwa kujiingiziza kazini kwa hofu ya vurugu inayo wezakupelekea upotevu wa mali zao. Fanyeni maamuzi magumu ikibidi kuondoa huu mkwamo.
 
Back
Top Bottom