JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Nimefuatilia story nyingi sana za mahusiano utaskia flani kamuacha mkewe sababu kafanyiwa madawa na mchepuko, au manzi yuko na flani anamchuna kwa sababu kamfanyia madawa, mama mkwe kamfanyia madawa mkwe wake ili asaidie upande wa ukweni.
Mbona siskii story za madume ambao wanafanyia madawa wake zao ili wawathibiti, au madume wanatumia madawa ili wazinase pisi kali za mjini.
Yaani ukikaa na ma manzi utashangaa jinsi wanavyoamini kwenye madawa kiasi kwamba utagundua kila manzi unayemjua mjini ana ustaadhi wake au mganga wake toka kijijini kwao ambaye anamtumia kwenye mahusiano yake na wanaume.
Ndiyo maana madume wengi tukishikika tunajikuta tunahonga sana kwa manzi zetu. Na siku tukiachwa ghafla tunapata maumivu mazito kupita maelezo, kumbe tunakuwa tumetiwa dawa mazee.
Mbona siskii story za madume ambao wanafanyia madawa wake zao ili wawathibiti, au madume wanatumia madawa ili wazinase pisi kali za mjini.
Yaani ukikaa na ma manzi utashangaa jinsi wanavyoamini kwenye madawa kiasi kwamba utagundua kila manzi unayemjua mjini ana ustaadhi wake au mganga wake toka kijijini kwao ambaye anamtumia kwenye mahusiano yake na wanaume.
Ndiyo maana madume wengi tukishikika tunajikuta tunahonga sana kwa manzi zetu. Na siku tukiachwa ghafla tunapata maumivu mazito kupita maelezo, kumbe tunakuwa tumetiwa dawa mazee.