Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
Jamani mbona JK hakuwashukuru riziwani na miraji jana pale Janngwani? Alimshukuru mke wake tu. Au aliogopa usemi wa BMW (baba, mama, watoto)?
Halafu alikumbushia siasa za majitaka kwa kusema wengine wameazima wake za watu kwenda nao Ikulu! Alijua jana ilikuwa siku ya mwisho wa kampeni kwa hiyo Dr Sllaa asingepata muda wa kuzijibu.
Hata Kinana sikusikia akishukuriwa.
Kama kawaida yake mkapa alikuwa njwiiii. Kati ya sifa za mkapa ni pamoja na ulevi na kula chakula kingi sana. Na akilewa huropoka sana, kama alivyofanya jana.
Halafu alikumbushia siasa za majitaka kwa kusema wengine wameazima wake za watu kwenda nao Ikulu! Alijua jana ilikuwa siku ya mwisho wa kampeni kwa hiyo Dr Sllaa asingepata muda wa kuzijibu.
Hata Kinana sikusikia akishukuriwa.
Kama kawaida yake mkapa alikuwa njwiiii. Kati ya sifa za mkapa ni pamoja na ulevi na kula chakula kingi sana. Na akilewa huropoka sana, kama alivyofanya jana.