Sasa maovu ya ushuani ya nafanyika Masaki jirani na kwa Lowasa getini wapo KK Security nyumba kila sehemu CCTV hao OFM wataingi aje?Uswahili sawa mechi zinapigwa wazi wazi Bajaj inapaki sehemu watu wanakunjana lazima wakamatwe,gesti madirisha yanapakana na vichochoro chabo kwa kwenda mbele.