Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Wapo wapi wale waliokuwa wakijinadi kuwa watagombea Uraisi kwa tiketi ya CCM ,wezi kama kuminasita hivi walikuwa wanajitangazia kuwa ndio watagombea,sasa ni wiki ya pili ,siwasikii,siwaoni wamekaa kimya ,wameufyata !
Na wale wapiga debe wao hapa JF nao wamemwagiwa acid ,hawatamani hata kuwasemea ,mnatuletea makundi ya majambazi eti ndio wagombea ,hakuna hata mccm mmoja anaetakiwa wote wamekwishaharibika ,wameharibikia ukubwani.
Nawapa pole sana miccm ,sasa wananchi wanasubiri kwa hamu kubwa sana habari kutoka UKAWA tu,wanahamu ya kumjua watakaempigia kura na kumkabidhi utawala wa Nchi hii.:cheer2:
Na wale wapiga debe wao hapa JF nao wamemwagiwa acid ,hawatamani hata kuwasemea ,mnatuletea makundi ya majambazi eti ndio wagombea ,hakuna hata mccm mmoja anaetakiwa wote wamekwishaharibika ,wameharibikia ukubwani.
Nawapa pole sana miccm ,sasa wananchi wanasubiri kwa hamu kubwa sana habari kutoka UKAWA tu,wanahamu ya kumjua watakaempigia kura na kumkabidhi utawala wa Nchi hii.:cheer2: