ukubwa jembe
Senior Member
- Jan 6, 2014
- 101
- 25
Yamekuwa hayo tena......wakihama ccm safi...lakini wakihama chadema wanakuwa waroho wamadaraka????????
Yamekuwa hayo tena......wakihama ccm safi...lakini wakihama chadema wanakuwa waroho wamadaraka????????
Nimefuatilia kwa makini mambo yanayoendelea kisiasa na sasa nimegudua ACT ni chama kinachoivuruga CDM kwa mtaji wa CCM maana sasa wale wategemewa wa cdm wakishidwa kura za maoni wanashidwa kuvumilia.
Hapa jimbo la Ukonga leo Nixon Tugara Amehamia rasmi ACT na atagombea ubunge jimbo la Ukonga.
Bado najiuliza tamaa za nini maana huku ni UKAWA ndio imetawala na kama sio kutafuta kugawanya kura ni nini hasa kinatafutwa.
Jerry Slaa anajua moto wa kamanda Wetu Mwita Waitara ambae bila kuja kwa Nixon tayari Jerry alishasalim amri.
Makamanda kukosa ubunge sio mwisho wa maisha lazima uwe na malengo zaidi ya kuangalia Ubunge tu.
Labda tujiulize hivi ukikosa ubunge na wa ccm akapata wewe ACT utafurahiya?
Acheni tamaa
Huo ni upungufu wa kufikiria
Yamekuwa hayo tena......wakihama ccm safi...lakini wakihama chadema wanakuwa waroho wamadaraka????????
Nimefuatilia kwa makini mambo yanayoendelea kisiasa na sasa nimegudua ACT ni chama kinachoivuruga CDM kwa mtaji wa CCM maana sasa wale wategemewa wa cdm wakishidwa kura za maoni wanashidwa kuvumilia.
Hapa jimbo la Ukonga leo Nixon Tugara Amehamia rasmi ACT na atagombea ubunge jimbo la Ukonga.
Bado najiuliza tamaa za nini maana huku ni UKAWA ndio imetawala na kama sio kutafuta kugawanya kura ni nini hasa kinatafutwa.
Jerry Slaa anajua moto wa kamanda Wetu Mwita Waitara ambae bila kuja kwa Nixon tayari Jerry alishasalim amri.
Makamanda kukosa ubunge sio mwisho wa maisha lazima uwe na malengo zaidi ya kuangalia Ubunge tu.
Labda tujiulize hivi ukikosa ubunge na wa ccm akapata wewe ACT utafurahiya?
Acheni tamaa
Huo ni upungufu wa kufikiria
Kwa sababu tunataka mabadiliko ukihamia ccm/act hutaki mabadiliko.huo ndo ukweli.
Nimefuatilia kwa makini mambo yanayoendelea kisiasa na sasa nimegudua ACT ni chama kinachoivuruga CDM kwa mtaji wa CCM maana sasa wale wategemewa wa cdm wakishidwa kura za maoni wanashidwa kuvumilia.
Hapa jimbo la Ukonga leo Nixon Tugara Amehamia rasmi ACT na atagombea ubunge jimbo la Ukonga.
Bado najiuliza tamaa za nini maana huku ni UKAWA ndio imetawala na kama sio kutafuta kugawanya kura ni nini hasa kinatafutwa.
Jerry Slaa anajua moto wa kamanda Wetu Mwita Waitara ambae bila kuja kwa Nixon tayari Jerry alishasalim amri.
Makamanda kukosa ubunge sio mwisho wa maisha lazima uwe na malengo zaidi ya kuangalia Ubunge tu.
Labda tujiulize hivi ukikosa ubunge na wa ccm akapata wewe ACT utafurahiya?
Acheni tamaa
Huo ni upungufu wa kufikiria