Napingana na wote wasemao tumeumbiwa matatizo,
matatizo yote uyajuayo, vifo, magonjwa, njaa, nk ni mzao wa anguko la mwanadamu, Mungu haku muumba mwanadamu ateseka,
Cha muhimu, unapokuwa katika matatizo, amini kuwa Mungu yupo na anaweza kukupitisha katika tatizo hilo.