Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,392
- 1,416
Watu wengi hua hatutaki kuukubali ukweli ila mwenzenu nina ushuhuda.
Mazoezi yanasaidia sana kwenye tendo la ndoa, nlkua nafanya penzi mzunguko mmoja nachoka vibaya mno.
Nkitaka kurudia bao la 2 uume unasinyaa na nashndwa ata baada ya nusu saa kupita, kuna siku mpenzi wangu alinitamkia wewe unajijua bao la 2 huwezi usijisumbua na kweli ilkua hivo.
Nilivoanza gym, nina kama mwezi ila napiga heavy, kuna siku juzi nmepiga mizunguko minne.
Na jana nmempga mzunguko mmoja nkaunganisha na wa pili kupmzika alvoridhka ikabidi anisukume hataki kuendelea ila mda huo bwana mkubwa alkua kasimama kwa ajili ya kuendelea na mzunguko wa 3.
msibeze mazoezi yanasaidia, sasa mi sielewi shida ilkua mazoezi au nilkua sili ila ukweli ndo huu,
Mazoezi yanasaidia sana kwenye tendo la ndoa, nlkua nafanya penzi mzunguko mmoja nachoka vibaya mno.
Nkitaka kurudia bao la 2 uume unasinyaa na nashndwa ata baada ya nusu saa kupita, kuna siku mpenzi wangu alinitamkia wewe unajijua bao la 2 huwezi usijisumbua na kweli ilkua hivo.
Nilivoanza gym, nina kama mwezi ila napiga heavy, kuna siku juzi nmepiga mizunguko minne.
Na jana nmempga mzunguko mmoja nkaunganisha na wa pili kupmzika alvoridhka ikabidi anisukume hataki kuendelea ila mda huo bwana mkubwa alkua kasimama kwa ajili ya kuendelea na mzunguko wa 3.
msibeze mazoezi yanasaidia, sasa mi sielewi shida ilkua mazoezi au nilkua sili ila ukweli ndo huu,