Mazoea ya kujambajamba kwa mabosi

Mazoea ya kujambajamba kwa mabosi

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,727
Reaction score
14,141
Bosi mara nyingi akiwa kimya ofisini kwake
akibanwa na ushuzi anauachia kwa nguvu zote
Kijambio kikazoea
Siku moja yuko ktkt mkutano
baada ya lunch mchana
akapitiwa na ka usingizi,sasa kutokana na mazoea yake ya kujambajamba
usguzi ukamjia,nadhani alikuwa anaota yuko ofisini
akajikamua kwa nguvu,pyuuuuuu
watu eeeeeeeeee
akashtuka toka usingizini
dahhhhh,kulikuwa na wapemba wakampongeza sana
wakimhabarisha
baada ya mkutano chochote anachohitaji
atalipiwa.:becky:
 
Niliwahi kuwa na boss Wa hivyo anaaachia bila aibu muda wote apuliza feni na air freshener.
 
Bosi mara nyingi akiwa kimya ofisini kwake
akibanwa na ushuzi anauachia kwa nguvu zote
Kijambio kikazoea
Siku moja yuko ktkt mkutano
baada ya lunch mchana
akapitiwa na ka usingizi,sasa kutokana na mazoea yake ya kujambajamba
usguzi ukamjia,nadhani alikuwa anaota yuko ofisini
akajikamua kwa nguvu,pyuuuuuu
watu eeeeeeeeee
akashtuka toka usingizini
dahhhhh,kulikuwa na wapemba wakampongeza sana
wakimhabarisha
baada ya mkutano chochote anachohitaji
atalipiwa.:becky:
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa sauti kubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi wenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.
 
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa Sauti mkubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi kwenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.

Expert at work
 
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa Sauti mkubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi kwenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.

mkuuu naomba unielekeze namna ya kutoa ushuzi wenye unyunyu mkali ama uliopoa kulingana na mazingira...mana nijuavyo mm huwezi kujua km hili bomu nikilitoa litakuwa kali ama la utulivu ni hadi ulitoe
 
Samhani! Mi sikujua kuwa kuna watu wanaweza ku control kiwango cha harufu ya ushuzi



Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa Sauti mkubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi kwenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.
 
mkuuu naomba unielekeze namna ya kutoa ushuzi wenye unyunyu mkali ama uliopoa kulingana na mazingira...mana nijuavyo mm huwezi kujua km hili bomu nikilitoa litakuwa kali ama la utulivu ni hadi ulitoe
Suala la kuamua aina gani ya harufu ya ushuzi uitoe na kwa kiwango gani, si jambo la kuanza kupoteza muda kuelekezana jinsi ya kufanya. Ungeniambia labda unataka maelekezo kuhusu namna ya kutoa kinyesi kinachonuka sana, kawaida au kisichonuka kabisa, hapo angalau ninaweza kusema kuwa jambo hilo lina ugumu wake kidogo coz mimi mwenyewe nishajaribu mara kadhaa bila mafanikio sana, lakini hili la kuamua kujamba aina gani ya harufu ya ushuzi, is within your ability to do it unless otherwise you are not serious in trying to do it with the intent of achieving positive results.
 
Samhani! Mi sikujua kuwa kuna watu wanaweza ku control kiwango cha harufu ya ushuzi

Hata wewe pia unaweza kucontrol kiwango cha harufu ya ushuzi ilmradi tu uondoe hofu na woga wa kuogopa kujaribu hilo jaribio kwa kuhofia kuishia kushindwa. So far there is nothing impossible under the sun, believe you can, and you are halfway there.
 
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa sauti kubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi kwenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.

Kujamba si tatizo.ila kujamba mbele za watu si adabu na wala si vema.. Hata jandon wanafundsha kuwa.. Ukijisikia kujamba nenda pemben.jamba ila si mbele.za watu
 
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa sauti kubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi wenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.

Hahahaaa. Watu bana, yaan unatoa ushauri kama unaelekeza shamba darasa!!
 
asante bwana mjambaji nitajaribu nikupe mrejesho...japo bado akili inagoma kukubali
 
Suala la kuamua aina gani ya harufu ya ushuzi uitoe na kwa kiwango gani, si jambo la kuanza kupoteza muda kuelekezana jinsi ya kufanya. Ungeniambia labda unataka maelekezo kuhusu namna ya kutoa kinyesi kinachonuka sana, kawaida au kisichonuka kabisa, hapo angalau ninaweza kusema kuwa jambo hilo lina ugumu wake kidogo coz mimi mwenyewe nishajaribu mara kadhaa bila mafanikio sana, lakini hili la kuamua kujamba aina gani ya harufu ya ushuzi, is within your ability to do it unless otherwise you are not serious in trying to do it with the intent of achieving positive results.

Hahahahahaa mjambaji umeniacha hoi sana!
 
Last edited by a moderator:
Bosi mara nyingi akiwa kimya ofisini kwake
akibanwa na ushuzi anauachia kwa nguvu zote
Kijambio kikazoea
Siku moja yuko ktkt mkutano
baada ya lunch mchana
akapitiwa na ka usingizi,sasa kutokana na mazoea yake ya kujambajamba
usguzi ukamjia,nadhani alikuwa anaota yuko ofisini
akajikamua kwa nguvu,pyuuuuuu
watu eeeeeeeeee
akashtuka toka usingizini
dahhhhh,kulikuwa na wapemba wakampongeza sana
wakimhabarisha
baada ya mkutano chochote anachohitaji
atalipiwa.:becky:
Samahani!Jokes za kifutuhi za aina hii hazinivutii!Too low am afraid!
 
Mimi sidhani kama kujamba ni tatizo kama wengi wanavyofikiria, lakini labda tu nishauri kwamba ukiwa upo kwenye watu wengi na ukajisikia kujamba basi ni vema na itapendeza zaidi kama utajamba ushuzi usio na harufu Kali sana hata kama itakuwa ni kwa sauti kubwa, na kama uko peke yako hapo ndipo sasa unaweza kutoa ushuzi wenye harufu Kali yoyote ile uitakayo. Hii tabia ya kutoa ushuzi mkali bila kujali umekaa na watu wengi na wa aina gani kusema kweli haipendezi na ni jambo lisilo na staha kabisa. Mtu mstaarabu huangalia na kuchunguza kwanza mazingira aliyopo na ndipo huruhusu aina gani ya kijambo au ushuzi aitoe kulingana na mazingira aliyopo.

itabidi tuwe na gauge sasa ya kupimia kiwango cha harufu ya ishuzi.... 😀
 
Suala la kuamua aina gani ya harufu ya ushuzi uitoe na kwa kiwango gani, si jambo la kuanza kupoteza muda kuelekezana jinsi ya kufanya. Ungeniambia labda unataka maelekezo kuhusu namna ya kutoa kinyesi kinachonuka sana, kawaida au kisichonuka kabisa, hapo angalau ninaweza kusema kuwa jambo hilo lina ugumu wake kidogo coz mimi mwenyewe nishajaribu mara kadhaa bila mafanikio sana, lakini hili la kuamua kujamba aina gani ya harufu ya ushuzi, is within your ability to do it unless otherwise you are not serious in trying to do it with the intent of achieving positive results.
quote_icon.png
By masamakwetu

mkuuu naomba unielekeze namna ya kutoa ushuzi wenye unyunyu mkali ama uliopoa kulingana na mazingira...mana nijuavyo mm huwezi kujua km hili bomu nikilitoa litakuwa kali ama la utulivu ni hadi ulitoe

Walahi mmenitisha na kunipa wasiwasi
 
mkuuu naomba unielekeze namna ya kutoa ushuzi wenye unyunyu mkali ama uliopoa kulingana na mazingira...mana nijuavyo mm huwezi kujua km hili bomu nikilitoa litakuwa kali ama la utulivu ni hadi ulitoe

Kula maharage yaliyochacha.
 
Back
Top Bottom